Hot story in Town: November 2014
#htmlcaption1 Go UP! Pure Javascript. No jQuery. No flash. #htmlcaption2 Stay Connected

Thursday, November 13, 2014

BEBI MPYA WA DIAMOND AIKUMBUKA BONGO? AU?


Dakika chache baada ya kuondoka Bongo na kukwaa pipa, bebi mpya wa Diamond, Zari 'The Boss Lady' akiwa ndani ya ndege alionekana mwenye mawazo mazito katika picha alizotupia juzi kwenye fan page yake ya Face Book na Instagram ikisindikizwa na maneno: " miss you already TZ.....deep Mawazu....". Imedaiwa na wadau alikuwa anaamanisha kumkumbuka 'Sukari ya Warembo' zaidi kuliko TZ.....!

PICHA ZA UTUPU ZA KIM KARDASHIAN ZAPAMBA INTANET, JARIDA

Picha ya Kim Kardashian inayomwonyesha nusu mtu na nusu mnyama.
Picha halisi iliyowekwa kwenye Intanet.…

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA RAIS SATA WA ZAMBIA NOV 11, 2014


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata Ikulu mjini Lusaka Zambia Novemba 11,2014.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal wa kwanza (kushoto) akiwa na Rais Mstaafu wa Zambia Mhe. Rupia Banda, Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta, Rais wa Msumbiji Mhe. Ermando Guebuza na Kaimu Rais wa Zambia Dkt. Guy Scott kwenye Misa Maalum ya kuaga mwili wa Rais Michael Sata iliyofanyika Novemba 11,2014 kwenye Uwanja wa Taifa mjini Lusaka Zambia.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama Tawala cha PF Mhe. A.B. Chikwanda kwenye Viwanja vya Ubalozini katika Makaburi ya Viongozi wa Kitaifa wakati mazishi ya Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata yaliyofanyika Novemba 11,2014 kwenye uwanja wa Taifa mjini Lusaka Zambia.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimfariji Rais mstaafu wa kwanza Zambia Dkt. Keneth Kaunda mara baada ya kumalizika maziko ya Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata kwenye Viwanja vya Ubalozini katika Makaburi ya Viongozi wa Kitaifa yaliyofanyika Novemba 11,2014 mjini Lusaka Zambia.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimfariji Rais mstaafu wa Zambia Mhe. Ruphia Banda baada ya kumalizika mazishi ya Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata kwenye Viwanja vya Ubalozini katika Makaburi ya Viongozi wa Kitaifa yaliyofanyika Novemba 11,2014. katikati Rais mstaafu wa kwanza wa Zambia Dkt. Keneth Kaunda. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akisaini kitabu cha maombolezo ya Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata kwenye Viwanja vya Ubalozini katika Makaburi ya Viongozi wa Kitaifa yaliyofanyika  Novemba 11,2014.
(Picha na OMR)

DAKTARI ALIYESABABISHA VIFO VYA WATU 13 INDIA MBARONI


Dk. RK Gupta aliyetiwa mbaroni.
DAKTARI anayehusishwa na tukio la vifo vya watu 13 katika kituo cha kutoa huduma ya kuzuia uzazi kwa njia ya upasuaji jimboni Chattisgarh nchini India, Dk. RK Gupta ametiwa mbaroni.



Baadhi ya akina mama waliofanyiwa upasuaji wakiwa hospitali.
Dk Gupta na msaidizi wake waliwafanyia upasuaji wananawake 83 katika kijiji cha Pendari ndani ya saa 3 Jumamosi iliyopita na kusababisha vifo 13 huku wengi wakiwa wamelazwa hospitali, 20 kati yao wakiwa katika hali mbaya.

Rais wa India, Ram Avtar aliyempoteza mke wake aitwaye, Nem Bai akiomboleza na wanaye huko Bilaspur, Chattisgarh.


Ndugu na jamaa wakiomboleza kifo cha mama mmoja aliyefariki baada ya upasuaji huo.

Maandamano yamefanyika baada ya tukio hilo la vifo, huku serikali ya Jimbo la Chhattisgarh ikitoa amri ya kufanyika kwa uchunguzi.Serikali nchini humo inamtaka daktari mmoja kutoa huduma ya upasuaji kwa watu 35 tu kwa siku.

WIMBO MPYA WA NAY WA MITEGO 'AKADUMBA'


DIAMOND KUWABURUDISHA WATANZANIA PARTY YA UHURU WASHINGTON DC AKISINDIKIZWA NA 'TANZANIA ALL STARS NUNUA TICKET YAKO MAPEMA ZIKO LIMITED !!!!

TANZANIA ALL STARS -WIMBO MAALUMU WA MIAKA 53 YA UHURU 
$100 (INCLUSIVE)
3 COURSE  DINNER
BOTTLE OF CHAMPAGNE PER TABLE
LIVE ENTERTAINMENT
CELEB AFRICA TV RED CARPET COVERAGE
RE KNOWN PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER 
FREE PARKING
CASH BAR
SPONSORSHIP  LEVELS STILL AVAILABLE 
TICKET ZINAPATIKANA
SAFARI RESTAURANT
4306 GEORGIA AVENUE,NW
WASHINGTON,DC,20011
OR
ONLINE
OR
CALL
301-661-6207
240-764-9970
202-830-8970
*************************************
**************************************

NDG. JERRY SILAA AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI SIMIYU


Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM na mlezi wa mkoa wa Simiyu Jerry Silaa akiongea na wananchi wa kijiji cha Mwamhongo wilayani Meatu, mkoa wa Simiyu. Ndg. Jerry Silaa amechangia mabati 50 kusaidia ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Mwamhongo kata ya Mwasengela kilometa 94 toka makao makuu ya Wilaya ya Meatu. Ndg.Jerry amekuwa kiongozi wa kwanza wa Chama chochote wa ngazi ya Taifa kukanyaga ardhi ya Kijiji hiki.
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Jerry Silaa ambaye ni Mlezi wa mkoa wa simiyu leo katika siku ya sita akikagua utekelezaji wa ahadi ya Mhe Rais Dr.Jakaya Kikwete ya ujenzi wa barabara za lami kilometa 3 kwenye mji wa Mwanhuzi makao makuu ya Wilaya ya Meatu. Kazi imefanyika kwa asilimia 40  na itakamilika mwezi wa tatu mwakani.
Ujenzi wa barabara za lami kilometa 3 kwenye mji wa Mwanhuzi makao makuu ya Wilaya ya Meatu. Kazi imefanyika kwa asilimia 40  na itakamilika mwezi wa tatu mwakani.
Kazi za ujenzi wa barabara za lami kilometa 3 kwenye mji wa Mwanhuzi makao makuu ya Wilaya ya Meatu zikiendelea.

THE RICHEST PEOPLE IN AFRICA: MOHAMMED DEWJI NAMED YOUNGEST BILLIONAIRE IN AFRICA


24. Mohammed Dewji
Net Worth: $2 BILLION
Industry: Diversified
Country of Citizenship: Tanzania
Age: 39
Number of Jobs Created: 16,800
Mohammed Dewji has seen his net worth rise considerably over the past year as his MeTL group, a conglomerate in 11 countries with interests in trade, FMCG and manufacturing, undergoes significant expansion.

MWANAMUZIKI GEEZ MABOVU AFARIKI DUNIA

Ahmed Ally Upete 'Geez Mabovu' enzi za uhai wake.

MWANAMUZIKI wa Hip Hop nchini, Ahmed Ally Upete 'Geez Mabovu' amefariki dunia jana usiku akiwa mkoani Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita akitokea jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa bwana Dennis ambaye alikuwa mtu wa karibu wa Geez Mabovu amethibitisha kuhusu kifo hicho na kusema rapa huyo aliondoka Dar kwenda Iringa akiwa kwenye hali ambayo sio nzuri kiafya. Marehemu Geez Mabovu anatarajiwa kuzikwa leo Novemba 13, 2014.

Mwenyezi Mungu ailze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN