Dakika chache baada ya kuondoka Bongo na kukwaa pipa, bebi mpya wa Diamond, Zari 'The Boss Lady' akiwa ndani ya ndege alionekana mwenye mawazo mazito katika picha alizotupia juzi kwenye fan page yake ya Face Book na Instagram ikisindikizwa na maneno: " miss you already TZ.....deep Mawazu....". Imedaiwa na wadau alikuwa anaamanisha kumkumbuka 'Sukari ya Warembo' zaidi kuliko TZ.....!
Thursday, November 13, 2014
BEBI MPYA WA DIAMOND AIKUMBUKA BONGO? AU?
Dakika chache baada ya kuondoka Bongo na kukwaa pipa, bebi mpya wa Diamond, Zari 'The Boss Lady' akiwa ndani ya ndege alionekana mwenye mawazo mazito katika picha alizotupia juzi kwenye fan page yake ya Face Book na Instagram ikisindikizwa na maneno: " miss you already TZ.....deep Mawazu....". Imedaiwa na wadau alikuwa anaamanisha kumkumbuka 'Sukari ya Warembo' zaidi kuliko TZ.....!
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA RAIS SATA WA ZAMBIA NOV 11, 2014
.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima
za mwisho kwa mwili wa Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata
Ikulu mjini Lusaka Zambia Novemba 11,2014.
.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal wa kwanza
(kushoto) akiwa na Rais Mstaafu wa Zambia Mhe. Rupia Banda, Rais wa
Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta, Rais wa Msumbiji Mhe. Ermando Guebuza na
Kaimu Rais wa Zambia Dkt. Guy Scott kwenye Misa Maalum ya kuaga mwili wa
Rais Michael Sata iliyofanyika Novemba 11,2014 kwenye Uwanja wa Taifa
mjini Lusaka Zambia.
.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akizungumza na
Katibu Mkuu wa Chama Tawala cha PF Mhe. A.B. Chikwanda kwenye Viwanja
vya Ubalozini katika Makaburi ya Viongozi wa Kitaifa wakati mazishi ya
Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata yaliyofanyika Novemba
11,2014 kwenye uwanja wa Taifa mjini Lusaka Zambia.
.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimfariji Rais
mstaafu wa kwanza Zambia Dkt. Keneth Kaunda mara baada ya kumalizika
maziko ya Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata kwenye Viwanja
vya Ubalozini katika Makaburi ya Viongozi wa Kitaifa yaliyofanyika
Novemba 11,2014 mjini Lusaka Zambia.
.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimfariji Rais
mstaafu wa Zambia Mhe. Ruphia Banda baada ya kumalizika mazishi ya Rais
wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata kwenye Viwanja vya Ubalozini
katika Makaburi ya Viongozi wa Kitaifa yaliyofanyika Novemba 11,2014.
katikati Rais mstaafu wa kwanza wa Zambia Dkt. Keneth Kaunda.
.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akisaini kitabu
cha maombolezo ya Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata kwenye
Viwanja vya Ubalozini katika Makaburi ya Viongozi wa Kitaifa
yaliyofanyika Novemba 11,2014.
(Picha na OMR)
DAKTARI ALIYESABABISHA VIFO VYA WATU 13 INDIA MBARONI
Dk. RK Gupta aliyetiwa mbaroni.
DAKTARI anayehusishwa na tukio la vifo vya watu 13 katika kituo cha
kutoa huduma ya kuzuia uzazi kwa njia ya upasuaji jimboni Chattisgarh
nchini India, Dk. RK Gupta ametiwa mbaroni.
Baadhi ya akina mama waliofanyiwa upasuaji wakiwa hospitali.
Dk Gupta na msaidizi wake waliwafanyia upasuaji wananawake 83 katika
kijiji cha Pendari ndani ya saa 3 Jumamosi iliyopita na kusababisha vifo
13 huku wengi wakiwa wamelazwa hospitali, 20 kati yao wakiwa katika
hali mbaya.
Rais wa India, Ram Avtar aliyempoteza mke wake aitwaye, Nem Bai akiomboleza na wanaye huko Bilaspur, Chattisgarh.
Ndugu na jamaa wakiomboleza kifo cha mama mmoja aliyefariki baada ya upasuaji huo.
DIAMOND KUWABURUDISHA WATANZANIA PARTY YA UHURU WASHINGTON DC AKISINDIKIZWA NA 'TANZANIA ALL STARS NUNUA TICKET YAKO MAPEMA ZIKO LIMITED !!!!
TANZANIA ALL STARS -WIMBO MAALUMU WA MIAKA 53 YA UHURU
$100 (INCLUSIVE)
3 COURSE DINNER
BOTTLE OF CHAMPAGNE PER TABLE
LIVE ENTERTAINMENT
CELEB AFRICA TV RED CARPET COVERAGE
RE KNOWN PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER
FREE PARKING
CASH BAR
SPONSORSHIP LEVELS STILL AVAILABLE
TICKET ZINAPATIKANA
SAFARI RESTAURANT
4306 GEORGIA AVENUE,NW
WASHINGTON,DC,20011
OR
ONLINE
OR
CALL
301-661-6207
240-764-9970
202-830-8970
*************************************
**************************************
NDG. JERRY SILAA AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI SIMIYU
THE RICHEST PEOPLE IN AFRICA: MOHAMMED DEWJI NAMED YOUNGEST BILLIONAIRE IN AFRICA
24. Mohammed Dewji
Net Worth: $2 BILLION
Industry: Diversified
Country of Citizenship: Tanzania
Age: 39
Number of Jobs Created: 16,800
Mohammed Dewji has seen his net worth rise considerably over the past year as his MeTL group, a conglomerate in 11 countries with interests in trade, FMCG and manufacturing, undergoes significant expansion.
MWANAMUZIKI GEEZ MABOVU AFARIKI DUNIA
Kwa mujibu wa bwana Dennis ambaye alikuwa mtu wa karibu wa Geez Mabovu amethibitisha kuhusu kifo hicho na kusema rapa huyo aliondoka Dar kwenda Iringa akiwa kwenye hali ambayo sio nzuri kiafya. Marehemu Geez Mabovu anatarajiwa kuzikwa leo Novemba 13, 2014.
Mwenyezi Mungu ailze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN
Subscribe to:
Posts (Atom)