Mhariri wa zamani wa gazeti la
Washington Post, Ben Bradlee aliyeongoza uhariri wa kashfa ya Watergate
miaka ya 70 na iliyosababisha Rais Richard Nixon kuachia ngazi
amefariki akiwa na miaka 93.
Ben aliwahamasisha waandishi wawili wa habari Bob Woodward na Carl
Bernstein kufuatilia kashfa hiyo ambayo Rais pia alijikuta akihusika.Ben Bradlee hadi anakumbwa na mauti amekuwa ni miongoni mwa watu wanaohesabika kufanya kazi zenye tunu na hasa uadilifu aliouonyesha, Bwana alitoa na sasa amtwaa Amen.
No comments:
Post a Comment