Hot story in Town: FAMILIA YA STEENKAMP YAPINGA UAMUZI
#htmlcaption1 Go UP! Pure Javascript. No jQuery. No flash. #htmlcaption2 Stay Connected

Saturday, September 13, 2014

FAMILIA YA STEENKAMP YAPINGA UAMUZI

Wanamilia kutoka upande wa marehemu Reeva wakiwa na simanzi wakati wa hukumu hiyo.
Jaji Thokozile Masipa alisema kuwa mwanariadha huyo…
Oscar Pistorius akisikiliza hukumu yake.
Familia ya Reeva Steenkamp ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi na mwanariadha wa Afrika kusini Oscar Pistorius imekasirishwa na uamuzi wa jaji wa kesi hiyo baada ya kumpata na hatia ya mauaji ya kutokusudia na kumuondoalea mashtaka ya mauaji.June Steenkamp amesema kuwa mwanawe ambaye alikufa vibaya hakufanyiwa haki.

Amesema kuwa hakuamini kwamba jaji wa kesi hiyo alikubali ushahidi wa Oscar Pistorius kwamba alidhani bi Reeva Steenkamp alikuwa mtu ambaye alikuwa amevamia nyumba yao.

Hatahivyo mjombaake Pistorius alimshukuru jaji huyo kwa kumuondolea mashtaka ya mauaji mwanariadha huyo.Oscar Pistorius ataendelea kuwa nje kwa dhamana hadi hukumu yake itakapotolewa mnamo mwezi ujao.

No comments:

Post a Comment