Yamoto Band wakilishambulia jukwaa la Dar Live wakati wa uzinduzi huo.
Msafiri Diouf 'Lewandowsky' wa Twanga Pepeta akifanya vitu vyake jukwaani kwenye uzinduzi wa Yamoto Band ndani ya Dar Live.
Nyomi iliyofurika ndani ya Dar Live.
Picha kwa hisani ya Globalpublishers
No comments:
Post a Comment