Mgeni Rasmi katika hafla ya Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa Bonnah
Education Trust Fund,Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam,Ndg.
Ramadhan Madabida akitoa hotuba yake kabla ya kuanza kuendesha harambee
hiyo,iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Hoteli ya Serena Jijini Dar
es Salaam.Zaidi ya sh. Milioni 100 zilipatikana katika harambee hiyo.
Mwanzilishi wa Bonnah Education Trust Fund,Bonnah Kaluwa akitoa hotuba
yake kwa wageni wa mbali mbali (hawapo pichani) waliohudhulia hafla ya
Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund.
Education Trust Fund,Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam,Ndg.
Ramadhan Madabida akitoa hotuba yake kabla ya kuanza kuendesha harambee
hiyo,iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Hoteli ya Serena Jijini Dar
es Salaam.Zaidi ya sh. Milioni 100 zilipatikana katika harambee hiyo.

yake kwa wageni wa mbali mbali (hawapo pichani) waliohudhulia hafla ya
Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund.
Katibu wa Bonnah Education Trust Fund,Mary Muwasa akizungumza machache ikiwa
ni pamoja kuwatambulisha wadhamini mbali mbali waliojitolea ili
kufanikisha harambee hiyo,iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Hoteli
ya Serena Jijini Dar es Salaam.
ni pamoja kuwatambulisha wadhamini mbali mbali waliojitolea ili
kufanikisha harambee hiyo,iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Hoteli
ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Mgeni Rasmi katika hafla ya Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa
Bonnah Education Trust Fund,Mwenyekiti wa CCM Mkoawa Dar es Salaam,Ndg.
Ramadhan Madabida (kushoto) akipokea mfano wa hundi ya Dola za Marekani
Elfu 8 kutoka kwa Mwenyekiti wa GCUT Group Tanzania,Lucy Jeremiar
Gilya.Katikati ni Mwenyekiti Mwanzilishi wa Bonnah Education Trust
Fund,Bonnah Kaluwa.
Bonnah Education Trust Fund,Mwenyekiti wa CCM Mkoawa Dar es Salaam,Ndg.
Ramadhan Madabida (kushoto) akipokea mfano wa hundi ya Dola za Marekani
Elfu 8 kutoka kwa Mwenyekiti wa GCUT Group Tanzania,Lucy Jeremiar
Gilya.Katikati ni Mwenyekiti Mwanzilishi wa Bonnah Education Trust
Fund,Bonnah Kaluwa.
No comments:
Post a Comment