Afisa
Mahusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Janeth Ezekiel akipokea cheti
na zawadi kutoka Kwa Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini wa Mfuko wa
Pensheni wa PPF, Dr Aggrey Mlimuka mara baada ya kutangazwa kuwa
mfanyakazi bora wa mwaka 2013 kutoka Idara ya Mahusiano na Masoko ya
Mfuko wa Pensheni wa PPF katika sherehe ya mwaka ya PPF iliyofanyika
mwishoni mwa wiki katika Hoteli ya Blue Pearl, Jijini Dar Es Salaam.
Pichani
Juu Ni baadhi ya wafanyakazi kutoka Idara Mbalimbali za Mfuko wa
Pensheni wa PPF waliojipatia zawadi kwa kuwa wafanyakazi bora wa Mwaka
2013.
Wadau
wakiserebuka Muziki mara baada ya wafanyakazi bora kupewa motisha na
zawadi zao katika sherehe ya Mwaka ya PPF iliyofanyika Mwishoni mwa Wiki
katika Hoteli ya Blue Pearl, Ubungo Jijini Dar Es Salaam.
(Pichote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog)
No comments:
Post a Comment