Hot story in Town: WEMA SEPETU ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
#htmlcaption1 Go UP! Pure Javascript. No jQuery. No flash. #htmlcaption2 Stay Connected

Monday, September 29, 2014

WEMA SEPETU ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ akijiandaa kukata keki yake ya siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Kijitonyama.
Wema Isaac Sepetu akiongea na wageni wake (hawapo pichani) kabla ya kukata Ndafu.
Martin Kadinda (kushoto) akimuonesha Wema Sepetu kadi ya gari.
Gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa Wema Sepetu na mpenzi wake Diamond Platnumz.Gari aina ya BMW alilozawadiwa Wema Sepetu na meneja wake Martin Kadinda.

No comments:

Post a Comment